Ice One: wasanii tumehamasisha BVR
Msanii chipukizi wa miondoko ya Bongofleva mzaliwa wa Mbeya mwenye maskani yake mkoani Morogoro Ice One ameelezea kuwa mchakato wa vijana kujiandikisha kupiga kura ulichukua sura mpya baada ya wasanii wa muziki na waigizaji kujitokeza.