Sheebah akana mahusiano tata na Keko

msanii wa Hip hop Keko wa Uganda akiwa na msanii mwenzake Sheebah Karungi

Staa wa muziki wa nchini Uganda, Sheebah Karungi amekanusha taarifa za kuwepo uhusiano tata wa jinsia moja kati yake na rapa Keko wa nchi hiyo, na kusema kuwa uhusiano wao upo ndani ya mipaka ya urafiki wa kawaida tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS