Waandishi wapata mafunzo ya habari za Uchaguzi

Mkufunzi kutoka Shirika la BBC Media Action, Ichikaeli Maro.

Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari wa mikoa ya Dar es Selaam, Lindi, Mtwara na Ruvuma wanapatiwa mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi ili kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu unakuwa wa amani na utulivu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS