Uraia Pacha ndio utakuza uchumi wa nchi-Membe

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernad Membe amesisitiza Watanzania waishio Ughaibuni(Diaspora),kuwa na uraia pacha kwa kuwa ndio njia pekee ya ushirikiano wa kiwekezaji na kukuza uchumi wa nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS