Epukeni wanaotumia dini kupata uongozi: Y. Makamba

Katibu Mkuu mstaafu wa chama cha Mapinduzi CCM, Mh. Yusuph Makamba

Watanzania wametakiwa kumuepuka na kumuogopa kama ukoma mtu yeyote bila kujali wadhifa wake anayewania madaraka hasa wa kuliongoza taifa kwa kutumia udini kwa kuwa ataligawa taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS