Viongozi wa dini wataka watanzania kutunza amani

Thomas Godda-mkurugenzi taasisi ya amani Tanzania

Viongozi wa dini mkoa wa Arusha wamewataka watanzania kuungana pamoja katika kuilinda na kuitunza amani iliyopo pasipo kujali itikadi za vyama, udini, ukabila na ukanda kwa kuwa iwapo itapotea ni vigumu kuirejesha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS