Msuya apiga marufuku wafanyabiashara wa vyakula

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni Dkt. Aziz Msuya

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni Dkt. Aziz Msuya amesema wanatarajia kuanza kutumia nguvu kukataza wafanyabiashara wa chakula wanaofanya biashara zao katika maeneo yaliyoathirika na kipindupindu kutokana na ongezeko la wagonjwa wa kipindupindu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS