Wananchi watakiwa kushiriki mikutano, kupiga kura

Mkurugenzi wa kituo cha haki za binadamu LHRC Dkt. Hellen Kijo Bisimba

Wananchi nchini Tanzania wametakiwa kujitokeza kwa wingi kusikiliza sera za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ili kuweza kuchanganua na kuchagua viongozi wenye nia ya dhati ya kuongoza taifa na sio kuchagua kwa ushabiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS