Longido watakiwa kuzingatia matumizi ya vyoo Mkuu wa Wilaya ya Longido Ernest Kahindi Wakazi wa Longido hasa waishio maeneo ya vijijini wametakiwa kujenga vyoo na kuachana na utamaduni wa kutokuwa na vyoo, hali ambayo inaweza kusababisha magonjwa ya milipuko ikiwemo kipindupindu. Read more about Longido watakiwa kuzingatia matumizi ya vyoo