Yanga yatupwa nje kombe la Mapinduzi.

Kikosi cha Yanga katika moja ya mechi ya michuano ya Mapinduzi inayoendelea kushika kasi yake Visiwani Zanzibar.

Klabu ya URA ya Uganda imeibwaga Yanga kwa Penati 4-3 kufuatia Sare ya Bao 1-1 katika Mechi ya Nusu Fainali ya kombe la Mapinduzi iliyofanyika huko katika wanja wa Amaan Zanzibar hapo Jana Usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS