Longido watakiwa kuzingatia matumizi ya vyoo

Mkuu wa Wilaya ya Longido Ernest Kahindi

Wakazi wa Longido hasa waishio maeneo ya vijijini wametakiwa kujenga vyoo na kuachana na utamaduni wa kutokuwa na vyoo, hali ambayo inaweza kusababisha magonjwa ya milipuko ikiwemo kipindupindu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS