Taka zingeweza kufungua viwanda: Anna Mghwira

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mama Anna Mghira.

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mama Anna Mghwira amesema endapo serikali ingeelekeza nguvu zake kwenye uzoaji taka, zingeweza kuongeza ajira kwa kutengenezwa viwanda ambavyo vitatumia taka hizo katika uzalishaji wa bidhaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS