Dr. Kikwete ampa pongezi Samatta
Raisi mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amekutana na mshambuliaji wa Mbwana Samatta kumpa pongezi nyota wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta kwa ushujaa wa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa ndani Afrika.

