CWT Mtwara yaendesha mafunzo ya Uongozi

Baadhi ya walimu wa Mkoa wa Mtwara wakiwa katika Moja ya Semina.

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) mkoani Mtwara kimeendesha mafunzo ya siku tatu kwa viongozi wa chama hicho kutoka katika ngazi ya mkoa, wilaya na vitengo vya wanawake, kwa lengo la kuwajengea uwezo juu ya masuala mbalimbali yakiuongozi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS