CUF yagoma kurudia uchaguzi Zanzibar
Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambaye pia ni katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad amesema kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar ni batili na ni agenda ya chama kilichoshindwa na haina uhalali wowote kisheria.