Dr. Kikwete ampa pongezi Samatta

Mbwana Samata akiwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

Raisi mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amekutana na mshambuliaji wa Mbwana Samatta kumpa pongezi nyota wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta kwa ushujaa wa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa ndani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS