CUF yagoma kurudia uchaguzi Zanzibar

Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambaye pia ni katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad amesema kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar ni batili na ni agenda ya chama kilichoshindwa na haina uhalali wowote kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS