Kelvin Friday kuanza kazi Mtibwa sugar jumamosi.

Kelvin Friday akiwa katika jukumu la timu ya Taifa lakini kwa sasa ametua kwa mkopo ndani ya wakatamiwa wa Mtibwa Sugar licha ya kuhusishwa kwake na kuhitajika nchini Ethiopia katika timu ya St George.

Kiungo wa klabu ya Azam ambaye anakipiga kwa mkopo ndani ya Mtibwa Sugar Kelvin Friday ameungana na wenzake jijini Mbeya tayari kuanza kuitumikia klabu yake hiyo mpya kwa mechi ya ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya wenyeji wao Tanzania Prisons jumamosi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS