Kelvin Friday kuanza kazi Mtibwa sugar jumamosi.
Kiungo wa klabu ya Azam ambaye anakipiga kwa mkopo ndani ya Mtibwa Sugar Kelvin Friday ameungana na wenzake jijini Mbeya tayari kuanza kuitumikia klabu yake hiyo mpya kwa mechi ya ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya wenyeji wao Tanzania Prisons jumamosi.