Serikali yaonya viongozi vyama vya akiba na mikopo

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla akikagua kitabu cha utaratibu wa kusajili watalii

Serikali imewaonya viongozi wa vyama vya akiba vya kuweka na kukopa mkoani Kilimanjaro, kuepuka kuingia katika kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za walala hoi kwa kuwa vitendo vya ubadhirifu ndio chanzo kikuu cha kufa kwa vyama hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS