Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati ambaye kabla ya kuhamishiwa Wilayani Babati alikua Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es salaam Bw. Mussa Natty
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bwana Jumanne Sagini amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara Mhandisi Mussa Natty.