Ikulu yamsimamisha aliyekuwa Mkurugenzi Kinondoni

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati ambaye kabla ya kuhamishiwa Wilayani Babati alikua Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es salaam Bw. Mussa Natty

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bwana Jumanne Sagini amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara Mhandisi Mussa Natty.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS