Wafugaji Simiyu watakiwa kufuga kibiashara Mkuu wa Wilaya ya Maswa Bi. Rosemary Kigirini. Wafugaji katika wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu wametakiwa kuacha ufugaji wa zamani wa idadi kubwa ya mifugo na kuanza ufugaji wa kibiashara ili waharakishe maendeleo na kujiongezea kipato Read more about Wafugaji Simiyu watakiwa kufuga kibiashara