Rais Magufuli awalilia waliofariki ajalini Kilolo

Basi la kampuni ya New Force lililokuwa limebeba abiria 49 limegongana na Lori la Kampuni ya Reign-ford Limited mkoani Iringa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi. Amina Masenza kufuatia ajali ya basi kugongana na lori, na kusababisha vifo vya watu 12, na wengine 15 kujeruhiwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS