TEFA imtoe mwekezaji wa Mabatini haraka-Wambura
Naibu Waziri wa Habari,utamaduni,Sanaa na Michezo,Bi Annastazia Wambura,ametoa wiki moja kwa chama cha soka soka Wilaya ya Temeke TEFA kumtoa mwekezaji anayefanya shughuli za ujenzi kwenye uwanja wa mpira wa Tandika Mabatini jijini Dar Es Salaam.

