Mwenyekiti TEFA hatambui kufungiwa na DRFA Mwenyekiti wa DRFA Almasi Kasongo Baada ya chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam DRFA kumfungia miaka miwili mwenyekiti wa chama cha soka Wilaya ya Temeke TEFA,Peter Mhinzi,mwanyekiti huyo ameibukA hii leo na kusema hatambui maamuzi hayo. Read more about Mwenyekiti TEFA hatambui kufungiwa na DRFA