Mwenyekiti TEFA hatambui kufungiwa na DRFA

Mwenyekiti wa DRFA Almasi Kasongo

Baada ya chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam DRFA kumfungia miaka miwili mwenyekiti wa chama cha soka Wilaya ya Temeke TEFA,Peter Mhinzi,mwanyekiti huyo ameibukA hii leo na kusema hatambui maamuzi hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS