Wafanyakazi 10 wa TANESCO wafukuzwa kazi

Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Felchesmi Mramba

Shirika la Umeme nchini Tanzania (TANESCO) limewasimamisha kazi wafanyakazi wake 10 wakiwemo wahasibu na mafundi kwa kusababisha upotevu wa mapato katika mfumo wa mita kwenye minara ya simu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS