LaLiga yapamba moto

Msimu wa mwaka 2015-16 wa la liga

Klabu ya soka ya Real Madrid imefanikiwa kuizamisha Sporting Gijon katika mwendelezo wa ligi kuu ya Hispania kufuatia ushindi mnono wa mabao 5-1 ambayo yamefungwa na wachezaji Gareth Bale bao 1 , Cristiano Ronaldo mabao 2 pamoja na Karim Benzema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS