Kamati ya ligi yaipa Polisi Dodoma pointi 3

Kamati ya ligi imeipa Polisi Dodoma ushindi wa pointi 3 na mabao matatu baada ya Mji Mkuu FC kumchezesha mchezaji Peter Ngowi aliyekuwa na kadi tatu za njano kwenye mechi yao ya ligi daraja la kwanza iliyochezwa Desemba 26, 2015

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS