Kamati ya ligi yaipa Polisi Dodoma pointi 3
Kamati ya ligi imeipa Polisi Dodoma ushindi wa pointi 3 na mabao matatu baada ya Mji Mkuu FC kumchezesha mchezaji Peter Ngowi aliyekuwa na kadi tatu za njano kwenye mechi yao ya ligi daraja la kwanza iliyochezwa Desemba 26, 2015

