Wafanyakazi 10 wa TANESCO wafukuzwa kazi Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Felchesmi Mramba Shirika la Umeme nchini Tanzania (TANESCO) limewasimamisha kazi wafanyakazi wake 10 wakiwemo wahasibu na mafundi kwa kusababisha upotevu wa mapato katika mfumo wa mita kwenye minara ya simu. Read more about Wafanyakazi 10 wa TANESCO wafukuzwa kazi