Watu 12 wafariki kwa ajali mkoani Iringa Watu 12 wamefariki dunia papo hapo baada ya lori la mbao lililokuwa likitokea Njombe kwenda jijini Dar es salaam kupasuka tairi na kugongana na basi la abiria la New Force. Read more about Watu 12 wafariki kwa ajali mkoani Iringa