FIFA yaipa siku 60 Etoile du sahel kuilipa Simba

mmja ya viongozi wa kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka duniani FIFA katika mmoja ya mikutano na waandishi wa habari Zurich

Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) imeiagiza klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia kuilipa Simba SC ya Tanzania pesa za uhamisho wa mchezaji Emmanuel Okwi ndani ya siku sitini kuanzia Januari 7 mwaka huu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS