Waziri wa Afya ashtukiza hosptali ya Bombo Tanga

Waziri wa Afya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Ummy Mwalimu avamia hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga, kukagua utoaji wa huduma za afya jana

Waziri wa Afya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Ummy Mwalimu amemwagiza mganga mkuu wa hospitali ya rufaa Bombo,kuhakikisha madaktari wote wenye zamu kuwepo kwenye vituo vyao vya kazi muda wote wasisubiri waitwe

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS