Waziri wa Afya ashtukiza hosptali ya Bombo Tanga
Waziri wa Afya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Ummy Mwalimu amemwagiza mganga mkuu wa hospitali ya rufaa Bombo,kuhakikisha madaktari wote wenye zamu kuwepo kwenye vituo vyao vya kazi muda wote wasisubiri waitwe