Serikali kufungua ubalozi wa Israel nchini

Rais Magufuli amemhakikishia Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuwa serikali yake ya awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ipo tayari kushirikiana na kuimarisha zaidi mahusiano kati ya Tanzania na Israel

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS