14 wauawa kwenye kituo cha chanjo Pakistani

Takriban watu 14 wameuawa katika shambulio la bomu nje ya kituo cha kutoa chanjo ya ugonjwa wa kupooza (polio) katika mji wa Kusini Magharibi wa Quetta nchini Pakistani, kwa mujibu wa maafisa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS