14 wauawa kwenye kituo cha chanjo Pakistani Takriban watu 14 wameuawa katika shambulio la bomu nje ya kituo cha kutoa chanjo ya ugonjwa wa kupooza (polio) katika mji wa Kusini Magharibi wa Quetta nchini Pakistani, kwa mujibu wa maafisa. Read more about 14 wauawa kwenye kituo cha chanjo Pakistani