Serikali yaitaka TPA kuongeza Makusanyo ya Mapato
Serikali imeitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuongeza makusanyo yake kwa mwaka kutoka sh. Bilioni 600 ambazo walijipangia mpaka kufikia Trilioni 1 ili fedha zisaidie kutatua matatizo ya wananchi, kuliko kuacha zikipotea kwa uzembe
