Serikali yaitaka TPA kuongeza Makusanyo ya Mapato

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania Aloyce Matei.

Serikali imeitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuongeza makusanyo yake kwa mwaka kutoka sh. Bilioni 600 ambazo walijipangia mpaka kufikia Trilioni 1 ili fedha zisaidie kutatua matatizo ya wananchi, kuliko kuacha zikipotea kwa uzembe

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS