Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakisalimiana na wazee wa Ruangwa kabla ya mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu mjini Ruangwa Desemba 20
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza kwamba hakuna mwananchi atakayekufa kwa njaa Kutokana na nchi kuwa na akiba ya chakua cha kutosha.