Mwalimu alalamikia kuchapwa makofi na Afisa elimu

Mwalimu wa shule ya Msingi Ikombohinga iliyopo wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, amelalamikia kuchapwa makofi na Ofisa elimu kwa kosa la kuchelewa kufika kwenye semina ya kufundisha watoto stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS