Mvua zaendelea kusababisha maafa Dodoma

Hii ni moja kati ya nyumba za polisi ambazo zimeharibiwa na mafuriko.

Mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Dodoma zimesababisha maafa makubwa Wilayani Mpwapwa ambapo zimeharibu jumla ya kaya 71 zenye wakazi 332 wa kijiji cha Gulwe na Chiseyu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS