Kuoa si jambo la kutangaza - Linex

Staa wa Muziki nchini Linex

Staa wa Muziki Linex ameeleza kuwa, picha zake zinazoendelea kuzua mjadala mkubwa mtandaoni, zinazomuonesha akiwa na bibi harusi katika pozi mbalimbali, zikimuhusisha yeye kuchukua hatua ya kuoa ni kitu ambacho atakizungumzia ndani ya siku 5 zijazo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS