Wahamiaji haramu 165 wakamatwa mkoani Tabora, 2015 Zaidi ya watu 165 wamekamatwa kwa kuishi nchini kinyume cha sheria katika kipindi cha mwaka 2015 kutoka nchi mbalimbali za Burundi,Rwanda, Kenya, Kongo, Mali, Chile, Ethiopia, Naigeria na Zambia. Read more about Wahamiaji haramu 165 wakamatwa mkoani Tabora, 2015