Serikali kuimarisha ulinzi,kudhibiti dawa
Serikali ya Tanzania imesema kuwa inakusudia kuboresha mifumo yote ya ulinzi na kuimarisha ulinzi nchini ili kukabiliana na uhalifu wa namna mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuongeza nguvu katika uthibiti wa biashara ya dawa za kulevya.