Serikali kuimarisha ulinzi,kudhibiti dawa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (katikati) akimsalimia Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi (D/IGP), Abdurahman Kaniki

Serikali ya Tanzania imesema kuwa inakusudia kuboresha mifumo yote ya ulinzi na kuimarisha ulinzi nchini ili kukabiliana na uhalifu wa namna mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuongeza nguvu katika uthibiti wa biashara ya dawa za kulevya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS