Hatuangalii pasi ndefu, tunataka Kombe - Mexime

Kocha wa Mtibwa Sugar Meck Mexime amesema, katika mchezo wa Fainali utakaopigwa hii leo dhidi ya URA ya nchini Uganda hawataangalia kucheza vizuri au vibaya bali wanachoangalia wao mpaka mwisho wa mchezo ni kuchukua kombe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS