Bobi Wine aomba kuisaidia KCCA
Bobi Wine, ameomba ruhusa kwa mamlaka inayoendesha Jiji la Kampala KCCA kumpatia kibali cha kuingia mstari wa mbele na kuchukua jukumu la kutengeneza barabara iliyopo huko Kira ambayo imekithiri kwa ubovu ikisababisha kero mbalimbali kwa wananchi.