Jeshi la polisi latangaza kiama kwa wezi.

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam limetangaza kuanza rasmi zoezi la kuwasaka na kuwakamata madereva wa bodaboda wanaohusishwa na tuhuma za wizi wa kutumia pikipiki na kufanya makosa mengine ya kihalifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS