Morgan ajibu mashambulizi ya Davido

Nyota wa muziki Cynthia Morgan wa nchini Nigeria

Nyota wa muziki Cynthia Morgan amezungumzia ugomvi wake na msanii wa muziki Davido ambaye amemtuhumu kwa kumuita majina ya kejeli katika mtandao unaosambaa kwa kasi sasa wa Snapchat, kitu ambacho binafsi hakukipenda na kujibu mashambulizi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS