Ngome yatamba kutwaa mashindano ya wazi
Kocha wa timu ya masumbwi ya Ngome ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ,David Yomba Yomba,amesema ana uhakika wa kikosi chake kuchukua ubingwa wa mashindano ya wazi ya masumbwi yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi februari 6 mwaka huu.

