Beki wa klabu ya Juventus Giorgio Chiellini akishangilia moja ya bao aliloifungia klabu yake katika mechi za Seria A.
Mabingwa Watetezi wa Kombe la Italia maarufu huko kama Coppa Italia klabu ya Juventus imefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga Lazio 1-0.