Gulamali aanza kazi kwa kishindo jimboni Manonga

Mbunge wa Jimbo la Manonga wilayani Igunga Mkoani Tabora Bwn.Seif Khamis Gulamali

Mbunge wa jimbo la Manonga wilayani Igunga mkoani Tabora Bw. Seif Khamis Gulamali (CCM) ameanza kazi za kuwatumikia wananchi wake kwa kushiriki ujenzi wa wa vyoo pamoja na kuziba mabwawa yaliyoharibiwa vibaya na mvua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS