Bajeti ijayo kuongeza kivuko kimoja Kigamboni

Mhandisi Karim Mattaka (katikati) akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (kushoto)

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Pro. Makame Mbarawa amesema ili kukabiliana na ufujaji wa mapato katika vivuko vya Kigamboni serikali itaanzisha mfumo mpya ya uvushaji wa magari pamoja na ulipaji tiketi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS