Vijana wanavipaji vya asili,wapewe nafasi-Nsajigwa

Kocha wa kikosi B cha timu ya Yanga ambaye pia ni beki wa Zamani wa Klabu hiyo Shadrack Nsajigwa Fuso amesema, wanatakiwa kurudi chini kuwekeza katika soka la vijana pamoja na kupata vifaa vitakavyoweza kusaidia vijana na kuweza kupata vipaji vipya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS