Ozil na Sanchez wampa ahueni kocha wa Arsenal

Kiungo mchezeshaji wa Arsenal Mesut Ozil(kulia)na mshambuliaji Alexis Sanchez(kulia)katika picha wanatarajiwa kuikabili Chelsea siku jumapili.

Kocha mkuu wa vinara wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza klabu ya Arsenal Mfaransa Arsene Wenger anaamini atapata huduma za nyota wake Mesut Ozil na Alexis Sanchez kwenye mechi yao ijayo dhidi ya Chelsea itakayopigwa siku ya jumapili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS