Bado nipo nipo kwenye kriketi-AB de Villiers Nahodha mpya wa timu ya taifa ya kriketi ya Afrika Kusini AB de Villiers amesema hana uhakika kama ataendelea kuwa kiongozi baada ya kumalizika mashindano ya Test dhidi ya Uingereza. Read more about Bado nipo nipo kwenye kriketi-AB de Villiers