Magufuli ashiriki maziko ya dada wa Jakaya Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete katika msiba wa dada yake Jakaya Kikwete

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameungana na familia ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho katika Maziko ya Dada wa Rais Kikwete aitwaye Tausi Khalfan Kikwete aliyezikwa katika kijiji cha Msoga, Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS