Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI, Seleman Jaffo
Kila Halmashauri nchini yatakiwa kutenga asilimia tano ya mapato yake ya ndani kwa kila mwaka wa fedha kwa ajili ya vijana na kutekeleza shughuli mbalimbali za kuwawezesha vijana kujiajili wenyewe.