USAID kusaidia elimu Mkoa wa Mtwara

Afisa Elimu wa mkoa wa Mtwara, Fatuma Kilimia, akielekezwa na wanafunzi matumiz ya tehama

Halmashauri za Tandahimba na Masasi mkoani Mtwara zimenufaika na mradi wa TZ 21Century unaofadhiliwa na shirikala la kimataifa la USAID la nchini Marekani, wenye lengo la kuinua elimu ya msingi kwa wanafunzi wa darasa la kwanza mpaka la Nne.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS