Airtel yanufaisha sekta mbalimbali Tabora
Wahudumu wa sekta mbalimbali za kijamii Mkoani Tabora na Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Ilolangulu mkoani humo wameanza kunufaika na mpango wa kuunganishwa na kujifunza kupitia wa mtandao wa Airtel kwa huduma za Internet ya bila malipo.
