Kesi ya Malkia wa Pembe za Ndovu yahairishwa tena

Yang Feng Glan ama Malkia wa Pembe za Ndovu

Kesi inayomkabili raia wa China ajulikanaye kwa jina la Yang Feng Glan maaarufu kama Malkia wa Pembe za Ndovu, anayekabiliwa na mashitaka ya kufanya biashara haramu pembe za ndovu imeahirishwa tena hii leo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS