Nuhu Mziwanda katika penzi jipya

Msanii wa Bongo Fleva Nuhu Mziwanda

Baada ya kuachana na Shilole na kumwagana pia na aliyekuwa mchumba wake mwenye asili ya kiarabu Erah,Nuhu Mziwanda ameamua kupoza moyo wake kwa mpenzi mpya ambae amemchora tatoo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS