Yanga yawanasa beki wa Mtibwa na kipa wa Prisons Aliyekuwa kipa wa Prisons ambaye sasa ni Kipa wa Yanga, Beno David Kakolanya Klabu ya Yanga imewanasa Kipa wa Tanzania Prisons aliyekuwa akitakiwa na Klabu ya Simba Benno Kakolanya na beki wa Mtibwa Sugar Andrew Vincent 'Dante'. Read more about Yanga yawanasa beki wa Mtibwa na kipa wa Prisons