Auawa kwa wizi wa kuku Sengerema

Mtu mmoja mwanaume ambaye anakadiriwa kuwa na umri wa miaka 35 mpaka 40 jina halijafahamika, ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na kupigwa hadi kufa na wananchi wenye hasira baada yakumkamata akifanya kitendo cha wizi wa kuku 7

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS