Mazungumzo ya amani Burundi yamalizika Arusha

Muwezeshaji wa mazungumzo ya maridhiano ya Burundi, Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa.

Mazungumzo ya kutafuta amani katika mgogoro wa Burundi yamemaliza mjini Arusha chini ya usimamizi wa raisi mstaafu wa Tanzania mh Benjamini Mkapa licha ya kuelezwa kuwapo na dosara zilizo pelekea baadhi ya washiriki kutoshiriki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS