Wanawake wajasiriamali kukwamulia na UNCTAD

Katibu Mkuu wa UNCTAD Dkt. Mukhisa Kituyi

Hatua zilizochukuliwa na kamati ya kimataifa ya biashara na maendeleo ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD kupatia kipaumbele wanawake kwenye biashara na maendeleo zimeanza kuzaa matunda na kudhihirisha kuachana na maneno kwenda kwenye vitendo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS