Wanawake wajasiriamali kukwamulia na UNCTAD
Hatua zilizochukuliwa na kamati ya kimataifa ya biashara na maendeleo ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD kupatia kipaumbele wanawake kwenye biashara na maendeleo zimeanza kuzaa matunda na kudhihirisha kuachana na maneno kwenda kwenye vitendo.
