Jeshi la Polisi lapongezwa kudhibiti Ujambazi
Serikali mkoani Mbeya imelipongeza jeshi la polisi mkoani Mbeya kwa kuweza kudhibiti tukio la ujambazi lililokuwa lifanyike Julai 11 mwaka huu wilayani Rungwe na pia kuua majambazi wawili na kukamata bunduki zao.
