Wachafuzi mazingira hatarini,faini 200,000

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Luhaga Mpina amesema serikali kupitia wizara hiyo wametoa muongozo kwa halmashauri zote nchini kuanza kuwakamata wachafuzi wa mazingira na kuwatoza fini kuanzia laki mbili na kuendelea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS