Waokoaji walipokuwa wakisaidia watu waliokumbwa na mkasa wa shambulizi katika mji wa Nice kusini mwa Ufaransa.
Lori lililokuwa limebeba milipuko na kujiingiza katikati ya umati wa watu na kufanya shambulizi lililosababisha mauaji ya watu wasio na hatia zaidi ya 80 nchini Ufaransa.