Samatta afunga bao Europa League, aweka historia

Mshambuliaji wa Genk, Mtanzania Mbwana Samatta (katikati) akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao dhidi ya Buducnost, michuano ya mchujo Europa League

Mtanzania Mbwana Samatta alifungia timu yake ya KRC Genk bao la pili, dhidi ya Buducnost ya Montenegro Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk,akicheza mechi ya kwanza katika michuano ya pili kwa ukubwa barani Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS