Kipa wa Timu ya Simba SC, Vicent Angban akipeana nkono na kipa wa Yanga, Ally Mustafa
Kipa namba moja wa Simba, Vincent Angban raia wa Ivory Coast, amerejea nchini na umeungana na kikosi chake kwa ajili ya mazoezi ya maandalizi ya msimu ujao wa ligi kuu ya Soka Tanzania Bara.