Wajitokeza kuimarisha ulinzi shirikishi Arusha

Mkuu wa Polisi wilaya ya Arusha (SSP) Emmanuel Tille akiongea na viongozi wa kata ya Moivaro tarafa ya Suye pamoja na askari wa vikundi vya ulinzi shirikishi wakati wa uzinduzi wa vikundi vinne vya kata hiyo

Wananchi wa kata ya Moivaro tarafa ya Suye halmashauri ya jiji la Arusha wameamua kujitokeza kupinga uhalifu kwa kuanzisha vikundi vinne vya ulinzi shirikishi kutoka mitaa ya Ngurumausi, Oldonyommasi, Moivaro Kati na Shangarao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS