CAF/TFF kupiga kozi nne kwa mpigo kwa makocha bara

Baadhi ya wahitimu wa kozi ya ukocha wa CAF msimu uliopita.

Shirikisho la vyama vya soka barani Afrika CAF kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wataendesha mafunzo ya kiufundi ya makocha wa mpira wa miguu nchini kwa mikoa minne ya Tanzania bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS